Header Ads

ad

VIDEO: Ahadi ya mabilioni ya Rais Magufuli yametolewa tayari



Feb 8 2016 Wizara ya Fedha na Mipango imetoa jumla ya Bil 12.3 kwa ajili shughuli za mahakama , ikiwa ni  utekelezwaji wa ahadi aliyoitoa Rais siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya Mahakama  duniani.
Kwenye hii video hapa chini kuna full stori na makabidhiano yalivyokuwa