Sare dhidi ya Liverpool, inaifanya Man United isubiri hadi mwakani kucheza michuano ya Ulaya (+Video)
Mchezo wa kwanza Man United walikubali kichapo cha goli 2-0 kutoka kwa Liverpoolambao wao walikuwa katika uwanja wao wa Anfield, licha ya kuwa kuna usemi unasema mcheza kwao utunzwa, Man United imeshindwa kusonga mbele michuano hiyo.
Post a Comment